Mkuu unahitaji Fundi wa kukufanyia kazi kwenye hicho Kijiwe, ama unahitaji Fundi then mfanye kazi kwa pamoja? Na Malipo yake yatakuwaje?Nilikua na kijiwe somewhere, ila nimehama maeneo hayo na kuja dsm na nnampango wa kufungua tena kijiwe hicho! Mwenye uwezo anaweza ku ni pm.
Awe ni mkazi wa dsm, akiwa tmk itapendeza.
Ulifanikiwa kupata fundi mkuu?Nilikua na kijiwe somewhere, ila nimehama maeneo hayo na kuja dsm na nnampango wa kufungua tena kijiwe hicho! Mwenye uwezo anaweza ku ni pm.
Awe ni mkazi wa dsm, akiwa tmk itapendeza.