Natafuta fundi welding

Ze burner

JF-Expert Member
Jan 5, 2011
514
83
Nilikua na kijiwe somewhere, ila nimehama maeneo hayo na kuja dsm na nnampango wa kufungua tena kijiwe hicho! Mwenye uwezo anaweza ku ni pm.
Awe ni mkazi wa dsm, akiwa tmk itapendeza.
 
Nilikua na kijiwe somewhere, ila nimehama maeneo hayo na kuja dsm na nnampango wa kufungua tena kijiwe hicho! Mwenye uwezo anaweza ku ni pm.
Awe ni mkazi wa dsm, akiwa tmk itapendeza.
Mkuu unahitaji Fundi wa kukufanyia kazi kwenye hicho Kijiwe, ama unahitaji Fundi then mfanye kazi kwa pamoja? Na Malipo yake yatakuwaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom