Natafuta fundi wa incubator songea ..

Natafuta fundi wa incubator songea ..

Joined
Jul 5, 2017
Posts
57
Reaction score
52
Wakuu nina incubator ya china mayai 96..haiwaki iliwaka mwezi mmoja tu na mwezi mwingine ikazima na mayai yakaharibika ..sasa naitaji mtaalamu fundi wa incubator wa songea ..au yeyote anielekeze nin nifanye ..mim nipo songea ..wakuu msaada tafadhali
 
Pole sana....

Naamini JF ni mkusanyiko wa kila kitu ... Utapata msaada.
 
Watakuja wataalam hapa. Jaribu pia kuwasiliana na wataalam wa KILIMO/MIFUGO wa Songea DC na MANISPAA hapo
 
Back
Top Bottom