makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,859
- 106,767
😂🤣 Tutaenda, njua ya mbinguni si moja tuunazan Mbinguni utaenda kwa style hii
![]()
😂🤣 Tutaenda, njua ya mbinguni si moja tuunazan Mbinguni utaenda kwa style hii
![]()
Tutabanana hapo hapo, muhimu tu kufikaMoja af nyembamba![]()
Kuna kijana wangu jirani yako hapo Boma nikikupatie utanishukuru, ana kazi zimenyooka hatari.Hello sweethearts.
Kama wewe Ni fundi ujenzi,au una idea na kujenga,Bei za vifaa,kiwanja etc..njoo tupige story
...Nina million tano hapa.
Naplan kiwanja Cha 15/20
Halafu fundi anijengee Apo kitu Cha kuishi
..Eneo ninalotaka Ni boma ng'ombe Moshi.
Fundi atajenga bure malipo watajuana na babymamy😂😂Mrembo wetu BabyMamy naona umeshafika Moshi Bomang'ombe kuhesabiwa. Mafundi tunaogopa kuingia mkataba wa kazi maana hapa hatuelewi ulichoandika kama ni akili zako au mbege imeanza kufanya kazi 🤣 🤣 🤣
Hhahaa oyaa 🤣🤣 hii kazi lazima uwe ngastuka machale kundesa bila hivyo utaliaFundi atajenga bure malipo watajuana na babymamy😂😂
Watajuana wao, duniani kuna wakati bata tredi inafaa wakati mwingine😂Hhahaa oyaa 🤣🤣 hii kazi lazima uwe ngastuka machale kundesa bila hivyo utalia
Hakika, halafu ni mwanangu sanaHansham sio![]()
Hansham sio![]()
sijasema stoo kwa maana mbaya lakini, nakushauri ili kupunguza gharama na project kukwama njiani tafuta fundi akague eneo kisha akupe makadirio ya mahitaji, kisha andaa mahitaji na usimamie mwenyewe ujenzi ikiwezekana fanya baadhi ya kazi kupunguza gharama za vibarua.Bika Shaka dear Tony, kwangu kitakua Ni chumba na Wala sio stoo.
Asante Tonny,Sasa umekuja kwny point..lengo la post yangu Ni kuomba makadirio yatakayoendana na 5 M.sijasema stoo kwa maana mbaya lakini, nakushauri ili kupunguza gharama na project kukwama njiani tafuta fundi akague eneo kisha akupe makadirio ya mahitaji, kisha andaa mahitaji na usimamie mwenyewe ujenzi ikiwezekana fanya baadhi ya kazi kupunguza gharama za vibarua.
View attachment 2852854
huu mchoro unaweza kukufaa ukajenga chumba na choo pekee halafu ukaacha matoleo ya kuunga sebule baadae ukipata nguvu.