Natafuta fundi radio

Mrisho com

JF-Expert Member
May 2, 2015
3,903
3,937
Nina radio yangu ya Sony nimetoka kuipenda sana, hivyo kuna tatizo limejitokeza sasa nahitaji fundi wa uhakika ambae atanifanikishia jambo langu.

Na kifaa kinachohitajika ni hicho hapo chini sijajua kinaitwaje kitaalam ila mtu akaniela kwamba kinaitwa control.

Natanguliza shukrani.

 
Hicho kifaa kipo wapi mana hapo naona RADIO iliyokuwa imefunguliwa housing yake ambapo hiyo ya picha ya kwanza umedownload picha mtandaoni upande wa sakiti wa ubavuni na tray ya CD tatu na ya pili ya chini ndo umeipiga jioni hii sasa kifaa husika ni kipi
Au njia nafuu sema radio ina tatizo gani inasumbua nini usaidiwe
 
Ilikuwa na tatizo gani hiyo redio

Send by APOLO 1
 
Nina radio yangu ya Sony nimetoka kuipenda sana, hivyo kuna tatizo limejitokeza sasa nahitaji fundi wa uhakika ambae atanifanikishia jambo langu...
Ungesema tatizo la redio kabisa. Unaposema control ni ngumu kuelewa shida maana huwa hizi redio almost control zote zipo surface mounted kwenye Pcb moja na ndio hiyo saketi kubwa hapo ubavuni. Sasa kama kweli inahitaji replacement ya saketi yote hiyo , ni ngumu maana hiyo saketi ni asilimia zaidi ya 60 ya redio nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii radio shida yake kubwa ni sauti ikiamua inaongea vizuri sna na ikisema leo sitaki kuzungumza basi sauti haitoi kabisa, lakini unaona vitu vyote vina fanya kazi hapo display ila ndio sauti inarudi na kukata.

Kuna jamaa aliefungua na kuiyangalia a kasema kwamba kuna kifaa hicho IC kubwa inayoonekana inapata moto ndio tatizo kwa hiyo inataka ibadirijwe sasa katk kuangalia hicho kidude hakina namba ndio tumekwamia hapo sasa nikesogeza humu ili kupata idea wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sauti inakuja na kukata, ikifurahi basi na sie tunafurahi ila ikiamka vibay basi halishikiki hata week saut halitoi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nina shida kama ya mtoa mada Sony yangu imekufa IC ya sauti, Mwenye kujua pakupata STK 433-100 Sanyo kwa bei chee anisaidie tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…