Natafuta frigi na flat screen used. Nipo Biharamulo

Natafuta frigi na flat screen used. Nipo Biharamulo

Msigazi Mkulu

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2013
Posts
4,186
Reaction score
3,421
Kama wewe ni mkazi wa Mwanza au Geita au Bukoba na una hivyo vifaa.

Naomba unipm namba yako tuwasiliane.
 
Kama ww ni mkazi wa Mwanza au Geita au Bukoba na una hivyo vifaa. Naomba unipm namba yako tuwasiliane.

kwanini umetanguliza kununua used kwanza? Sishauri mtu anunue vitu used especially Refrigerators! kuna friji nzuri za bei poa tu hata TV flat pia zipo. nenda madukani angalia Brand hizi-:
SINGSUNG
BOSS
SANSAN
HOTPOINT
HISENSE
 
kwanini umetanguliza kununua used kwanza? Sishauri mtu anunue vitu used especially Refrigerators! kuna friji nzuri za bei poa tu hata TV flat pia zipo. nenda madukani angalia Brand hizi-:
SINGSUNG
BOSS
SANSAN
HOTPOINT
HISENSE

Asante kwa ushauri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom