Level ya diploma anzia kampuni zile za migodi midogomidogo kama ya kuchimba mawe,kokoto au wachimba visima vya maji nk.Makampuni makubwa ya madini na gesi mara nyingi huwa yanapenda kuchukua wale wanaosomea degree za mining na huwachukua idara zao kama mmoja alivyoandika hapo juu hawapokei kabarua ka mtu binafsi mmoja mmoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.