Natafuta engine ya Suzuki

Don Mangi

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
2,199
Reaction score
855
wanajamvi habari zenu?
Natafuta engine ya suzuki, old model Sierra 5 speed zile kama za mahakimu, kwa mwenye nayo naomba ani pm na bei yake na mahali alipo lakini ni vizuri zaidi kama ikipatikana Dsm, Moshi au Arusha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…