Gien Banks
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 336
- 891
- Thread starter
- #21
Mkuu wazo zuri
Mimi nitakuwa mteja wako wa kwanza nitakuja na helkopta yangu kutokea Bunju unioshee kwa dau la 1 M ili kukuunga mkono
Karibu sana chief.
Mkuu wazo zuri
Mimi nitakuwa mteja wako wa kwanza nitakuja na helkopta yangu kutokea Bunju unioshee kwa dau la 1 M ili kukuunga mkono
Mkuu eneo utaapata, swali langu je nikiamua kuanzisha carwash ndogo ya uswahilini tu itahitaji shingapi vitu vya msingi tu.Babu pressure washer iwe mchina au vp zote zinafanya kazi tu. Wewe pita gerezani kidongo chekundu zipo kibao... baadae ukiimarika utanunua unayotaka bei zinaanzia 700K mpaka 1.8 M. Mashine ya Vacuum nayo muhimu.
Pressure washer kuna za Mafuta na Za Umeme. Utachagua.
Turudi kwenye mada...natafuta eneo jamani.
Duu kwahiyo minimum shingapi na maximum shingapi ati.
Mkuu eneo utaapata, swali langu je nikiamua kuanzisha carwash ndogo ya uswahilini tu itahitaji shingapi vitu vya msingi tu.
Angalia hizo location ulizo plan ni nzuri utapiga Hela.... All in all... Kila la kheri
Elezea vizuli inakuwajekuwaje hata mimi naweza kukodi, kwamwezi kunaingiza kiasi ganiNapangisha ya kwangu ipo kunduchi bei 300,000/= na 600,000/= pamoja na frem
Napangisha ya kwangu ipo kunduchi bei 300,000/= na 600,000/= pamoja na frem
Sawa. 600,000/ carworsh pamoja frem ya office ni kubwa?Hiyo rent kubwa sana mazee.
Hiyo rent kubwa sana mazee.
Sawa. 600,000/ carworsh pamoja frem ya office ni kubwa?
Wasalaam Wakuu,
All is Well.
Husika na kichwa cha habari....kijana mwenzenu nimejichanga vihela kadhaa na kutaka kufungua biashara ya car wash nijikwamue ki uchumi hapa jijini Dar.
Vifaa na Mengine si Tatzo kabisa, nimekamilika.
Shida yangu kubwa ni eneo la kazi husika (car wash) naombeni msaada wenu katika hilo. Maeneo nayopendelea ni
1. Mikocheni
2. Sinza
3. Kinondoni
4. Makumbusho
5. Mwenge
Na mengineyo kama yatafaa sina tatzo. Ushauri wenu katika kazi hii utafaa sana.
Karibuni.![]()
Oky keshoNaomba unitumie picha ya eneo inbox plz.
Sawa. 600,000/ carworsh pamoja frem ya office ni kubwa?
Hayo maeneo ulotaja nyapo kwenye Prime Location hivyo kinakushinda hiyo rent.
Jaribu kutoka kidogo angalia maeneo kama Mbweni au Mbezi rent inaweza kuwa nafuu kidogo.
Vinginevyo kodisha kiwanja cha mtu kilichopo maeneo hayo mawili unakuwa unafanya kitu chaitwa lease hold kama miaka miwiili kwa kuanzia.
Ukitengemaa ndo unaweza kurudi kwenye maeneo ulotaja maana huenda ukaweza kulipa rent.
Ila kama uko serious basi waingia eneo twaliita untapped riches wa wajasiriamali wadogo.
Mkuu nimekuelewa ila naomba uelezee kwa lugha simple zaidi kwa wengine wakusome. Lol
Kuna ukweli na ulichosema...sema nnje ya mji kidogo business is slow kuliko huku prime area.
mmh inashawishi😀😀
Najaribu kukuambia kwamba una mawazo chanya sana ambayo yanaweza kukufanya ufanikiwe kifedha kwa muda mfupi sana ikiwa unaweka hiyo biashara kwenye eneo sahihi.
Hivyo maeneo ulotaja mwanzoni (kama unaweza kumudu hiyo rent yake) basi utakuwa umeula.
Ila usisahau maeneo mengine kama niliyokutajia kama Mbweni na Mbezi, kwani ukiweka car wash yako pembezoni mwa hizo barabara ambazo nyingi ni mpya, basi hutakosa cash flow itakayotokana na trafiic unayopita kwenye maeneo hayo.
Nafikiri hapa angalau ntaeleweka kidogo.
😀😀