Natafuta eneo la Car wash

Natafuta eneo la Car wash

Gien Banks

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2018
Posts
336
Reaction score
891
Wasalaam Wakuu,
All is Well.


Husika na kichwa cha habari....kijana mwenzenu nimejichanga vihela kadhaa na kutaka kufungua biashara ya car wash nijikwamue ki uchumi hapa jijini Dar.

Vifaa na Mengine si Tatzo kabisa, nimekamilika.

Shida yangu kubwa ni eneo la kazi husika (car wash) naombeni msaada wenu katika hilo. Maeneo nayopendelea ni

1. Mikocheni
2. Sinza
3. Kinondoni
4. Makumbusho
5. Mwenge

Na mengineyo kama yatafaa sina tatzo. Ushauri wenu katika kazi hii utafaa sana.

Karibuni.
 
Write your reply..jaman mkujeni wenye plot zenu ila boss tushirikishe bajeti yako Kwenye maandaliz yako Kwenye hiyo mambo....
 
Kuna sehemu nimeliona maeneo ya Kijichi na liko barabarani pia uzuri hakuna competition hilo eneo na kwa nyuma kuna parking ya magari.
 
Kuna sehemu nimeliona maeneo ya Kijichi na liko barabarani pia uzuri hakuna competition hilo eneo na kwa nyuma kuna parking ya magari.

Thanks boss. I will consider that as an option.
 
Umetumia shilingapi kukamilisha kununua vifaa even me namchongo huo wakuanzisha iyo project mzeeee
 
KWa maeneo ya mikocheni ungefaulu San dear kule hakuna competition kabisaa,jaribu kafanye survey
 
Mkuu kwa 4M unaweza fungua hii kitu au ndogo sana

Huwezi itaishia kwenye rent hyo.
Kuna vitu kama

1. Chuma la kupandishia gari au la matofali.
2. Sim Tank
3. Kuweka floor sehem ya kuoshea
4. Luku kama umeme hamna
5. Maji ya Dawasco ( Watu wanapenda ya Bomba )

Na hela nyingine ya emergency kama 1 M mpaka 2 M cz mashine zitaitaji service at some point.
 
Huwezi itaishia kwenye rent hyo.
Kuna vitu kama

1. Chuma la kupandishia gari au la matofali.
2. Sim Tank
3. Kuweka floor sehem ya kuoshea
4. Luku kama umeme hamna
5. Maji ya Dawasco ( Watu wanapenda ya Bomba )

Na hela nyingine ya emergency kama 1 M mpaka 2 M cz mashine zitaitaji service at some point.
Duu kwahiyo minimum shingapi na maximum shingapi ati.
 
Mkuu pressure washer umechukua ngap?na wap zinapata za uhakika sio hiz mchina?
 
Mkuu pressure washer umechukua ngap?na wap zinapata za uhakika sio hiz mchina?

Babu pressure washer iwe mchina au vp zote zinafanya kazi tu. Wewe pita gerezani kidongo chekundu zipo kibao... baadae ukiimarika utanunua unayotaka bei zinaanzia 700K mpaka 1.8 M. Mashine ya Vacuum nayo muhimu.

Pressure washer kuna za Mafuta na Za Umeme. Utachagua.

Turudi kwenye mada...natafuta eneo jamani.
 
Mkuu wazo zuri
Mimi nitakuwa mteja wako wa kwanza nitakuja na helkopta yangu kutokea Bunju unioshee kwa dau la 1 M ili kukuunga mkono
 
Back
Top Bottom