Natafuta Duka la simu aina ya Tecno kwa Dar

Natafuta Duka la simu aina ya Tecno kwa Dar

ngawia

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2014
Posts
834
Reaction score
858
Naomba kuliza wadau ni duka gani linalouza sim aina techno manake mjini dar hapa maduka ni mengi na wajanja ni wengi unaweza kubabatizwa sim feki kwa bei ya original. Kuna ndg kajichanga huko mkoa kanitumia laki mbili zake sasa naona kanipa mtihani nimnunulie smart phone
 
Naomba kuliza wadau ni duka gani linalouza sim aina techno manake mjini dar hapa maduka ni mengi na wajanja ni wengi unaweza kubabatizwa sim feki kwa bei ya original. Kuna ndg kajichanga huko mkoa kanitumia laki mbili zake sasa naona kanipa mtihani nimnunulie smart phone

nina hakika tecno wana duka lao kariakoo.....
kuna kipindi fulani walikuwa wanawapa ofa wakazi wa dar kuwa " kioo chako kikiwa kimepasuka utatengenezewaa bure ukiendaa hapa duka la tecno, bt simu iwe na risiti au haijawahi kifunguliwa.."" kuna ndugu yangu alilekebisha kioo chake bt ain't sure kuhusu haya... ila wana duka lao kariakoo..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom