Natafuta di-frizer used....!

Natafuta di-frizer used....!

mjasilia

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2012
Posts
594
Reaction score
172
Waungwana natafuta kidi-frizer kidogo cha kuweza kutunza kama kilo 100 za samaki used mwenye nacho anaitafute haraka nipo dsm maeneo ya kimara baruti...!
 
freezer bana yakuifadhia fresh meat!


Ushauri wangu: ungeingia kariakoo ukapiga kiatu kwenye used fridges and freezers utapata kwa bei nzuri na watakupa warraty. Hiyo ya kutaka mwenye nayo akupigie nina mashaka utaishia kununua scrap
 
nashkuru mwana kwa ushauri nitafanyia kazi!
Ushauri wangu: ungeingia kariakoo ukapiga kiatu kwenye used fridges and freezers utapata kwa bei nzuri na watakupa warraty. Hiyo ya kutaka mwenye nayo akupigie nina mashaka utaishia kununua scrap
 
Back
Top Bottom