Simple tu. Nunua cement kilo moja, dagaaa kisha wasage upate unga wake, changanya na chochote unachodhani panya wanapenda sana. Kiwe katika fomu ya unga unga. Wawekee mahali wanapopita sana. Watakuja kula kwa wingi. Chakula hiki kinawafanya wawe na hamu kubwa ya knywa maji. Wakinywa tu watakuwa wametengeneza blocks tumboni kama matofali. Hawana ujanja, ni kufa kwa maelfu!