HeyAmani iwe nanyi.
Natafuta mdada wa kuchati naye na kubadilishana mawazo kuanzia miaka 26-35, nimeajiriwa katika sekta binafsi na kwa sasa niko Kanda ya ziwa.
Mwenye utayari ani pm.
me nahitaji dada wa kuchat nae miaka 18-25Ningefurahi kupata kaka Ila kwenye umri ndo shida sasa
teh teh teh hiyo kitu ingine aisee!!!Chek na Gigy money...
hebu dadavua hapoDada wa hiari ndo anakuaje