stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 19,003
- 14,754
labda nkufundishe kitu, hakunaga unique idea kama unavodhan watu wanauliza maelezo zaidi ii wajue wanafit vp kwenye hilo wazo, huezi ukasema tu natakaw atu wa kufanya nao kazi alafu umemalizaSasa lama sio ya kuiba mbona watu wanataka maelezo, ya nini?
Kwani hio E commerce kila mtu anaweza kuitekekeza iwe app ? Si inahitaji ubunifu kuiunda au unaunda kama stuli?
Ingekuwa mambo ni simple hivyo yangejaa ma app kama Amazon, Aliexpress nk, mbona hizo app hazipo za kutosha huku kwetu kama ni simple.
Basi kama ni simple unda ya kwako upige mihela ya ku download.
- ecommerce zipo nyingi sna bongo usidhan uko unique sana na kutengeneza ecommerce ni rahisi sana nadhan ndo first project ya kila mwana chuo, yaaani its very very easy unaweza generate code za ecommerce full ndan ya dakika 3
kuna jamaa anafanyaga tutorial mbongo alishawahi kupiga pia hiki:
View: https://www.youtube.com/watch?v=hhTPdOMCzE8&t=6704s&pp=ygUIcm9kbGlpbmU%3D
yaaani the thing ni ecommerce mtu yoyote ata kama hajui programming anaweza kutengeneza the fact apa ni kama unataka kufanya collabo kila mtu ana angle yake ya kukusaidia other wise ndo umeanza kama mtu mpya kwenye game