james victor98
Member
- May 31, 2015
- 62
- 67
Naomba kujua chuo cha ushonaji nguo ambacho kipo Dar es salaam...?
Nawasilisha
Nawasilisha
Nenda Mgulani Vocational Training College, Chang'ombe Dsm. Kipo chini ya Vetanaomba kujua chuo cha ushonaji nguo ambacho kipo dar es salaam...? nawasilisha
Hivi ufundi cherehani ni TAALUMA au KIPAJI? Usipoteze muda na hela kusoma kitu ambacho hujabarikiwa nacho.
Nenda Mgulani Vocational Training College, Chang'ombe Dsm. Kipo chini ya Veta
Napenda kujua hapo Mgulani wanafundisha hadi umeme wa majumbani amaNenda Mgulani Vocational Training College, Chang'ombe Dsm. Kipo chini ya Veta
Ni kweli kabisaHivi ufundi cherehani ni TAALUMA au KIPAJI? Usipoteze muda na hela kusoma kitu ambacho hujabarikiwa nacho.
Wanafundisha mkuuNapenda kujua hapo Mgulani wanafundisha hadi umeme wa majumbani ama
Ok,sawa,je ada yao inafika kiasi gani kwasasaiviWanafundisha mkuu
Ni 650k/mwaka, inalipwa kwa awamu mkuuOk,sawa,je ada yao inafika kiasi gani kwasasaivi
na fomu ni kiasi gani kuchukuaWanafundisha mkuu
dah,mbona kubwa sana ada yao ilihali pale ni taasisi ya Umma,majuzi yale nilienda pale chuo chao kingine navy,nikauliza nikaambiwa ni 460,ila nikiangalia ni mbali sana alipo uyo mwanafunzi kufika pale,sasa nao mgulani naona wamezidi sanaNi 650k/mwaka, inalipwa kwa awamu mkuu
Gharama ya fomu ni 10k mkuu, ukihitaji nenda tu pale Mgulani JKT, chuo kipo ndani ya kambi.na fomu ni kiasi gani kuchukua
Pale napafahamu,nilisomaga udereva miaka ya nyuma kidogoGharama ya fomu ni 10k mkuu, ukihitaji nenda tu pale Mgulani JKT, chuo kipo ndani ya kambi.
Basi vizuri mkuu. Kimsingi ni chuo kizuri, maana pamoja na elimu ya nadharia na ya vitendo, vijana wanalelewa pia katika misingi ya nidhamu na ukakamavuPale napafahamu,nilisomaga udereva miaka ya nyuma kidogo
Pamoja na shukrani sana kwa msaada wako..........ubarikiweBasi vizuri mkuu. Kimsingi ni chuo kizuri, maana pamoja na elimu ya nadharia na ya vitendo, vijana wanalelewa pia katika misingi ya nidhamu na ukakamavu
Amen... Karibu mkuuPamoja na shukrani sana kwa msaada wako..........ubarikiwe