yahyakabila
Member
- Aug 11, 2016
- 19
- 10
Natafuta chuo cha private kinacho fundisha diploma ya secondary, kwahapa dar es salaam.
Haipoooo...... TenaNatafuta chuo cha private kinacho fundisha diploma ya secondary, kwahapa dar es salaam.
weka ufaulu wako kwanza hapaNatafuta chuo cha private kinacho fundisha diploma ya secondary, kwahapa dar es salaam.
Nina 3 ya form four na princpl 1 na subsjr1weka ufaulu wako kwanza hapa
Kama ukimaliza diploma ya shule za msingi unaweza kuchukua digree ya kufundusha sekondary?Diploma in secondary Education haipo tena.
Unatakiwa kusoma Diploma in primary Education ili uwe mwalimu wa msingi au Bachelor degree ili uwe mwalimu wa sekondari
Hakuna kingine zaidi ya Diploma in primary Education wakifungua dirisha la kuapply fanya fasta usichelewe ila unakuwa Mwalimu wa msingi.Ufaulu wangu ni dv3 ya form four na 4.19 with princpl 1 and 1 subsjr
Ndio tena ujitahidi kupata GPA ya 3.5 maana hawachelewi kusema ili ujiunge na Bachelor degree lazima uwe na GPA ya 4.0 kwa mwaka utakaomaliza.Kama ukimaliza diploma ya shule za msingi unaweza kuchukua digree ya kufundusha sekondary?