mabibo au ubungo,nyumba nzima napata kwa bei gan??Vipo Kigamboni, bunju, madale , tegeta , Tabata , Kinyerezi , yombo buza , kimara, gongo la mboto, Mbezi msumi, Sinza , mabibo , ubungo na kawe.
300kmabibo au ubungo,nyumba nzima napata kwa bei gan??
...chumba na sebule,200k
Dah...Mkuu uchumi wa sizonje umebana sana...angalau 100,000 ntamuduKipo sinza ada 120,000/=
Ubungo vip!! VinapatikanaWakuu bado sijapata chumba..... Msaada wenu jamani
Kuna ghorofa maeneo ya msewe chumba na sebule 160kWakuu bado sijapata chumba..... Msaada wenu jamani
Chumba master na sebule maeneo ya bbunju vinapatikana Kwa bei gani? Napendelea zaidi upande wa kulia kama unaenda bagamoyo.Vipo Kigamboni, bunju, madale , tegeta , Tabata , Kinyerezi , yombo buza , kimara, gongo la mboto, Mbezi msumi, Sinza , mabibo , ubungo na kawe.
Mkuu weka mawasiliano yakoKipo sinza ada 120,000/=