bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,371
- 3,946
Wakuu
Kama kichwa kinavyosema,kuna ofisi nimepata maeneo ya Charambe viwandani.Sasa nataka nihamie maeneo ya huko,ni sehemu gani sasa nzuri naweza kukaa,ila uswahilini kabisa siwezi.
Bei kwa mwezi chumba standard ni shilling ngapi?Madalali kazi kwenu miminikeni PM
Kama kichwa kinavyosema,kuna ofisi nimepata maeneo ya Charambe viwandani.Sasa nataka nihamie maeneo ya huko,ni sehemu gani sasa nzuri naweza kukaa,ila uswahilini kabisa siwezi.
Bei kwa mwezi chumba standard ni shilling ngapi?Madalali kazi kwenu miminikeni PM