Ipo ya vyumba viwili na choo ndani, full maji, ndani ya fense, mlango wako mkuu una grill, ndani gypsum, tiles, na aluminium windows, bei ni Laki moja tu kwa mwezi, mahali ni Mbezi beach karibu na baraza la mitihani.
Anapokea kodi ya miezi6?
dah natamani kingekuwa maeneo ya ubungo
Habari wakuu, natafuta chumba kimoja cha kupanga kwa dar, kiwe na umeme, choo na bafu kwa nje kwa ajili ya wapangaji.Mwenye chumba aweke bei hapa.Aweke bei kwa mwezi itakua bei gani. Nipo serious kinahitajika haraka.Mwenye nacho aweke bei na aseme kipo dar sehemu gani.
Weka namba ya simu,chumba kipo magomeni mapipa
Njooo kigamboni kipo maeneo ya tungi
Ubungo pia unapata chumba poa tu kwa bei poa
Hapana mkuu. Nahitaji Kinondoni Magomeni basi
Ubungo msewe ni wapi?
bado kaka sijapata
Ukipata basi we mchawi!! Bei hiyo nenda manzese/mabibo au ubungo na sio sinzaJaman me natafuta chumba maeneo ya shekilango or sinza opposite na mliman city bei 50
Ukipata basi we mchawi!! Bei hiyo nenda manzese/mabibo au ubungo na sio sinza
na WW utakuwa umenisaidia kuloga Kwan maeneo hayo shingap vyumba ?Ukipata basi we mchawi!! Bei hiyo nenda manzese/mabibo au ubungo na sio sinza
Yaani ukipata cha 80 elf hutaingia maana ni cha ajabu balaaana WW utakuwa umenisaidia kuloga Kwan maeneo hayo shingap vyumba ?