Natafuta chumba cha kupanga, Dar es Salaam

Natafuta chumba cha kupanga, Dar es Salaam

Haujarespond nikutumie no ya dalali seems like hauna shida,kwa heri.
 
Nahitaji chumba kimoja cha kupanga dar. Muhimu kiwe na umeme, maji, choo bafu na usalama.
 
Nenda kwa madalali watakuonrsha chumba poa kulingana na pesa yako
 
Chumba na sebule, around Mabibo hostel, tiles, umeme, maji yapo. 100,000/- per month. Six month pay.
Pm if interested.
 
Vip hali wadau?

Natafuta Chumba cha kupanga, muhimu kiwe na maji, choo, umeme, bafu, usalama.

Salio langu ni kati ya 30,000 - 50,000.

Aliye na chumba ani-pm.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom