kaka nipe no.yako please
dah natamani kingekuwa maeneo ya ubungo
Habari wakuu, natafuta chumba kimoja cha kupanga kwa dar, kiwe na umeme, choo na bafu kwa nje kwa ajili ya wapangaji.Mwenye chumba aweke bei hapa.Aweke bei kwa mwezi itakua bei gani. Nipo serious kinahitajika haraka.Mwenye nacho aweke bei na aseme kipo dar sehemu gani.
Ipo ya vyumba viwili na choo ndani, full maji, ndani ya fense, mlango wako mkuu una grill, ndani gypsum, tiles, na aluminium windows, bei ni Laki moja tu kwa mwezi, mahali ni Mbezi beach karibu na baraza la mitihani.