g_ndete Member Joined Feb 14, 2018 Posts 35 Reaction score 17 Sep 2, 2023 #1 Kwa mwenye chuma hizo zinazo onekana pichani, au mwenye kujua wapi zinapatikana pamoja na bei, Msaada tutani
Kwa mwenye chuma hizo zinazo onekana pichani, au mwenye kujua wapi zinapatikana pamoja na bei, Msaada tutani
kawombe JF-Expert Member Joined Mar 26, 2015 Posts 17,595 Reaction score 21,260 Sep 3, 2023 #2 Unahitaji ngapi?
Kaselele Senior Member Joined May 19, 2022 Posts 171 Reaction score 480 Sep 4, 2023 #3 Kuna mtu aliwahi kunambia yeye alinunua mtaa wa Mchikichi pale Kariakoo kama upo dar. Hata mimi nazihitaji ila sijapa mda wa kwenda kuangalia kwa kweli. Ukibahatika kwenda naomba unijulishe mkuu.
Kuna mtu aliwahi kunambia yeye alinunua mtaa wa Mchikichi pale Kariakoo kama upo dar. Hata mimi nazihitaji ila sijapa mda wa kwenda kuangalia kwa kweli. Ukibahatika kwenda naomba unijulishe mkuu.