Wapendwa nataka kuanza biashara ya kutoa photo copy na ku type barua kwenye computer
sasa nitapata ile photocopier machine medium sized?
Sina hela ya ile kubwa na hata biashara yenyewe ipo sehemu ambayo siyo busy sana
asanteni kunisaidia nitapata wapi?
sasa nitapata ile photocopier machine medium sized?
Sina hela ya ile kubwa na hata biashara yenyewe ipo sehemu ambayo siyo busy sana
asanteni kunisaidia nitapata wapi?