Alamba lolo
Member
- Apr 12, 2019
- 16
- 12
Amani ya mwenyezi Mungu iwe pamoja nanyi popote pale mlipo. Mimi nikijana nilitoka nyumbani Tanzanai miaka 3 iliopita kuja huku nilipo South Africa, kwa lengo lakusaka maisha.
Kutokana na hali inayoendelea kwa sasa huku, bado COVID-19 ipo na haijulikani lini itaisha. So nimeona bora nirudi nyumbani, niwe karibu na ndugu zangu especially wanangu. Kwa miaka 3 nipo huku nimejifunza kazi zamikono, ikiwemo kunyowa, dreadlocks, kuchora tatoo na mengine Mengi.
Natafuta mtu ambaye tutashirikiana kibiashara kwahapo Tanzania mkoa wowote. NB: biashara iwe ni saloon, na ikiwa ni unisex itapendeza zaidi. Kwa maelezo zaidi ni PM.
Asanteni!
Kutokana na hali inayoendelea kwa sasa huku, bado COVID-19 ipo na haijulikani lini itaisha. So nimeona bora nirudi nyumbani, niwe karibu na ndugu zangu especially wanangu. Kwa miaka 3 nipo huku nimejifunza kazi zamikono, ikiwemo kunyowa, dreadlocks, kuchora tatoo na mengine Mengi.
Natafuta mtu ambaye tutashirikiana kibiashara kwahapo Tanzania mkoa wowote. NB: biashara iwe ni saloon, na ikiwa ni unisex itapendeza zaidi. Kwa maelezo zaidi ni PM.
Asanteni!