Natafuta bus bora

Kama unataka usafiri wa usalama kabisa .ila utachelewa kufika pia, Safiri na Basi la TRAVEL PARTNER.ni wastaraabu sana wale jamaa. Ukitaka prukushani za mbio mbio na roho mkononi safiri na mabasi mengine kama HAPPY NATION au FRESTER
 
Kama unataka usafiri wa usalama kabisa .ila utachelewa kufika pia, Safiri na Basi la TRAVEL PARTNER.ni wastaraabu sana wale jamaa. Ukitaka prukushani za mbio mbio na roho mkononi safiri na mabasi mengine kama HAPPY NATION au FRESTER
Asante sana
 
Panda Happy Nation,bado halina mpinzani, full AC na sehemu ya kucharge simu
Hiyo gari last week ilipata ajari Kibaigwa ikitokea Bukoba ilisababisha kifo Cha mtoto wa rafiki yangu tumezika last week, pia yeye mwenyewe alichanwa mguu vibaya hivi Sasa hawezi hata kutembea. Sitaki hata kuisikia
 
Happy nation hakuna kitu nilipanda saa kumi Dar na nikafika Mwanza saa kumi alfajiri siku ya pili. Kila kituo linaharibika sirudi na sipandi tena.
Panda Allys ndio bora haswa ukipata lile la kwanza kabisa saa kumi asubuh unafika Mwanza saa nne usiku
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…