Tetra
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 1,520
- 764
me nina umri 25,mfupi,mweuc ila co sana,umbo langu wastan..na mcha mungu,napenda kuheshimiana.
nipo ntakupataje?
me nina umri 25,mfupi,mweuc ila co sana,umbo langu wastan..na mcha mungu,napenda kuheshimiana.
Kwani mfupi hana kei acha ushamba dogo
Acha opinion za ajabu wewe.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Karibu kwangu. Ni-pm haraka sweetie!
Kwani wewe ambacho hukielewi hapo ni kipi? Kasema anataka boyfriend na siyo mume! Akili zingine bwana? Au na wewe ulifaulu Std VII pasipo kujua kusoma, kuhesabu wala kuandika? Nyie ndio huwa mnaandika majina yenu kwenye sehemu ya Jina la Shule!
Kwani wewe ambacho hukielewi hapo ni kipi? Kasema anataka boyfriend na siyo mume! Akili zingine bwana? Au na wewe ulifaulu Std VII pasipo kujua kusoma, kuhesabu wala kuandika? Nyie ndio huwa mnaandika majina yenu kwenye sehemu ya Jina la Shule!
me nina umri 25,mfupi,mweuc ila co sana,umbo langu wastan..na mcha mungu,napenda kuheshimiana.
Una wasiwasi ni mvivu kitandani pia?Mbona unaonekana ni mvivu??.......hatakujieleza uwezi!!(Mweuc,co)Wewe unamatatizo kwa hali hiyo utampata wa jinsia yako mvivu kama wewe!
vipi ingekuwa mweupe, mrefu ila co sana!Kila la heri
degree ya nini bana...hapo kwenye ufupi ndo tatizo...my opinion lakin...