Natafuta Boyfriend aliye serious

Natafuta Boyfriend aliye serious

Em in my late 28 vip siqualify japo ni mrefu sana.
 
Ndoa nyingi za siku hizi zinadumu kwa siku 3 kwa sababu ya mambo kama haya.
You select!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ndoa nyingi za siku hizi zinadumu kwa siku 3 kwa sababu ya mambo kama haya.
You select!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Hakuna anayekuwa na mtu kwenye mahusiano bila kuselect, kuwa na sababu za kumfanya awe na yeye na si mwengine, ingekuwa watu hawaselect, tungekuwa tunafanya ana ana do( kubahatisha) basi hizo ndoa ndio zingekuwa za 3 mins kabisa. Hata parents wako walikuwa na vigezo vya kuwafanya wawe pamoja.
 
Natafuta boyfriend aliye serious, awe single, mcheshi, mpole, mstaarabu( asiyependa kujishaua), asiwe na wivu kupindukia, mrefu kiasi( sio saaana), asiwe mnene( awe wa wastani au mwembamba), mweupe au maji ya kunde, Elimu ya Chuo( Degree na kuendelea), awe Mkristo RC, atokee Mikoa ya Mwanza, Arusha au Kilimanjaro (mwenyeji), umri kuanzia miaka 30 hadi 35. Mimi niko single, nina elimu ya Chuo ( Dregree), mrefu wa wastani, niko wastani (si mnene wala si mwembamba), Mkristo RC, mweupe kiasi, mwenyeji wa Kilimanjaro na nina umri wa miaka 28, naishi DSM napenda naye pia awe anaishi DSM. Asanteni!


Ni PM.

NB: Awe Single, mstaarabu (asiyependa kujishaua) na asiwe na wivu kupindukia.

weka picha kwanza nikuone alafu ndio nije kufanya mtihani
 
Hizo sifa kiboko, kujishaua ni kufanyeje?

Sijui hata nikuelezeeje, lakini wazungumzaji wa kiswahili wanaelewa, yaani sipendi mtu anayetafuta attention ya watu kwa kujishow off, kubwatukabwatua, kujifanya yuko juu, kujikweza na kuwaletea wengine majigambo, eg. wahudumu wa migahawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom