Natafuta bodaboda used ya kununua

Natafuta bodaboda used ya kununua

LUTAMBI

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2012
Posts
233
Reaction score
103
Somo linaashiria nahitaji kununua bodaboda kwa ajili ya biashara. Iwe SANLG, TBETTER,TOYO 150CC hata kama aina nyingine nishawi nitaichukua. Isizidi miezi 6 toka isajiliwe kufanya biashara. Nazihitaji fasta hata zikiwa 3 poa tu. Nipo Dar 0715719171 bajeti ni maelewano.
 
yaani mijitu mingine banah kama mi 'mbebez' tu! Huo ni unaume suruali you know!!...mwanaume halisi ananunua vitu halisi dukani!..tatizo miafrika mivivu na mimaskini ya kutupwa!
Hapo utakuta umedhulumu hela za ulithi ndo unazitumbua tuh!
 
yaani mijitu mingine banah kama mi 'mbebez' tu! Huo ni unaume suruali you know!!...mwanaume halisi ananunua vitu halisi dukani!..tatizo miafrika mivivu na mimaskini ya kutupwa!
Hapo utakuta umedhulumu hela za ulithi ndo unazitumbua tuh!
sio lazima kuchangia kila post... tunajua upo JF na unajua kusoma na kuandika. Kumbuka Comment ya muelevu ni tiba kwa mjinga.... Asante
 
lutambi unamajibu yabusara sana yani mm teyal nilishapanik nikashika upanga kawajibu ulio mjibu huyo bwana mungu akubaliki sana akushie neme ndogondogo nmakubwa pia kiongoz
 
lutambi unamajibu yabusara sana yani mm teyal nilishapanik nikashika upanga kawajibu ulio mjibu huyo bwana mungu akubaliki sana akushie neme ndogondogo nmakubwa pia kiongoz

hahahaha. Nafaham wanaJF wenye tabia za kuongea wasichokijua humu wapo wengi mno, kikubwa ni kuwavumilia tu. Mi humu sitafuti maadui natafuta ma bodaboda tu. Kila la kher bro.
 
yaani mijitu mingine banah kama mi 'mbebez' tu! Huo ni unaume suruali you know!!...mwanaume halisi ananunua vitu halisi dukani!..tatizo miafrika mivivu na mimaskini ya kutupwa!
Hapo utakuta umedhulumu hela za ulithi ndo unazitumbua tuh!

yaani wewe ni fake kupitiliza!
 
Somo linaashiria nahitaji kununua bodaboda kwa ajili ya biashara. Iwe SANLG, TBETTER,TOYO 150CC hata kama aina nyingine nishawi nitaichukua. Isizidi miezi 6 toka isajiliwe kufanya biashara. Nazihitaji fasta hata zikiwa 3 poa tu. Nipo Dar 0715719171 bajeti ni maelewano.


Mimi niko nazo 3 ziko dar!

No zake ni CEC, CDX, na CNH aina ya FEKON
NI PM TUONE TUNAFANYA NINI!
 
yaani mijitu mingine banah kama mi 'mbebez' tu! Huo ni unaume suruali you know!!...mwanaume halisi ananunua vitu halisi dukani!..tatizo miafrika mivivu na mimaskini ya kutupwa!
Hapo utakuta umedhulumu hela za ulithi ndo unazitumbua tuh!

Wivu tu we kama huna bodaboda kaa kimya
 
yaani mijitu mingine banah kama mi 'mbebez' tu! Huo ni unaume suruali you know!!...mwanaume halisi ananunua vitu halisi dukani!..tatizo miafrika mivivu na mimaskini ya kutupwa!
Hapo utakuta umedhulumu hela za ulithi ndo unazitumbua tuh!
hii kitu imenizibua ubongo wangu du!:bange:
 
yaani mijitu mingine banah kama mi 'mbebez' tu! Huo ni unaume suruali you know!!...mwanaume halisi ananunua vitu halisi dukani!..tatizo miafrika mivivu na mimaskini ya kutupwa!
Hapo utakuta umedhulumu hela za ulithi ndo unazitumbua tuh!

Mur tatigha ubhujinga unakaa kijijini kabisa ambapo gari inakuja mara moja kwa mwezi afu unasema uko nje lione na makengeza yake ya ubongoni
 
Somo linaashiria nahitaji kununua bodaboda kwa ajili ya biashara. Iwe SANLG, TBETTER,TOYO 150CC hata kama aina nyingine nishawi nitaichukua. Isizidi miezi 6 toka isajiliwe kufanya biashara. Nazihitaji fasta hata zikiwa 3 poa tu. Nipo Dar 0715719171 bajeti ni maelewano.

Offer yako inaanzia ngapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom