Natafuta binti anaejitambua...

Natafuta binti anaejitambua...

GENTLEMAN S

Member
Joined
Feb 19, 2014
Posts
47
Reaction score
8
Habari zenu?
Nina imani kuna wadada wa kutosha humu na wakaka pia mwaweza kunipatia dada zenu..
..ninahitaji binti mmoja tu anayejitambua na kujiamini..
Nimeshajipanga kimaisha na namuhaidi atakaejitokeza kuja kua mke wangu..
..awe anajipenda na msafi,
umbo lolote..
Umri 24-32
elimu yoyote asipokua na kazi nitamsaidia,
karibuni tuwasiliane kwa PM
 
ha haa mke mwema hapatikan kwa njia hyo! funga,sali na muombe mungua akuonyeshe

anyway labda anaweza kuwepo hum jf
 
Habari zenu?
Nina imani kuna wadada wa kutosha humu na wakaka pia mwaweza kunipatia dada zenu..
..ninahitaji binti mmoja tu anayejitambua na kujiamini..
Nimeshajipanga kimaisha na namuhaidi atakaejitokeza kuja kua mke wangu..
..awe anajipenda na msafi,
umbo lolote..
Umri 24-32
elimu yoyote asipokua na kazi nitamsaidia,
karibuni tuwasiliane kwa PM

Wewe mwenyewe hujitambui !! Mbaya zaidi ni kuwa hujui kuwa hujitambui lol
 
utafiti mi bado nipo kichochoroni ndo natafuta njia kuu
sina mchepuko
 
Last edited by a moderator:
daah bahati za mtende izo...mie niko mwaya...ni msafi na ninajitambua...sipend kuhngwa ila ukinipa sitakataa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom