GENTLEMAN S
Member
- Feb 19, 2014
- 47
- 8
Habari zenu?
Nina imani kuna wadada wa kutosha humu na wakaka pia mwaweza kunipatia dada zenu..
..ninahitaji binti mmoja tu anayejitambua na kujiamini..
Nimeshajipanga kimaisha na namuhaidi atakaejitokeza kuja kua mke wangu..
..awe anajipenda na msafi,
umbo lolote..
Umri 24-32
elimu yoyote asipokua na kazi nitamsaidia,
karibuni tuwasiliane kwa PM
Nina imani kuna wadada wa kutosha humu na wakaka pia mwaweza kunipatia dada zenu..
..ninahitaji binti mmoja tu anayejitambua na kujiamini..
Nimeshajipanga kimaisha na namuhaidi atakaejitokeza kuja kua mke wangu..
..awe anajipenda na msafi,
umbo lolote..
Umri 24-32
elimu yoyote asipokua na kazi nitamsaidia,
karibuni tuwasiliane kwa PM