BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,164
Anaweza kukulipa..sema nahofia isije kuwa ndogo kulingana na kazi anayotaka.. Hahaa
Hehehe heri alipe hata hiyo ndogo... maana jamaa anapoelekea atadata buuure
Anaweza kukulipa..sema nahofia isije kuwa ndogo kulingana na kazi anayotaka.. Hahaa
Wandugu,
Kama kuna mwenye namba za simu za baunsa yeyote anisaidie. Nahitaji escort yake kesho, napeleka barua ya Talaka ukweni...sasa nina wasiwasi baba mkwe/ndugu/wife wanaweza kunizingua kwa namna moja au nyingine. Pia naomba ushauri kama kuna namna ya kufikisha barua hii bila mimi kwenda na ikatambulika.
Asanteni kwa ushirikiano mliouonyesha wakati huu wa janga la Ndoa ninalolipitia.
Hebu mu-add kwenye group la talaka huko whatsapp fasta
Nenda kakodishe mguu Wa kuku uende nao umeuning'iniza kiunoni wote watakusalimia shikamoo.Wandugu,
Kama kuna mwenye namba za simu za baunsa yeyote anisaidie. Nahitaji escort yake kesho, napeleka barua ya Talaka ukweni...sasa nina wasiwasi baba mkwe/ndugu/wife wanaweza kunizingua kwa namna moja au nyingine. Pia naomba ushauri kama kuna namna ya kufikisha barua hii bila mimi kwenda na ikatambulika.
Asanteni kwa ushirikiano mliouonyesha wakati huu wa janga la Ndoa ninalolipitia.
Wandugu,
Kama kuna mwenye namba za simu za baunsa yeyote anisaidie. Nahitaji escort yake kesho, napeleka barua ya Talaka ukweni...sasa nina wasiwasi baba mkwe/ndugu/wife wanaweza kunizingua kwa namna moja au nyingine. Pia naomba ushauri kama kuna namna ya kufikisha barua hii bila mimi kwenda na ikatambulika.
Asanteni kwa ushirikiano mliouonyesha wakati huu wa janga la Ndoa ninalolipitia.