Nipo Mkoani Arusha. Nahitaji Barakoa kwa ajili ya watumishi wa kampuni yetu. Wapi nitazipata? Nimemtuma kijana, amesema maduka yote makubwa hakuna barakoa.
Msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app