Natafuta Bar ya kukodi Morogoro

Natafuta Bar ya kukodi Morogoro

CHRISTURKER

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2012
Posts
267
Reaction score
55
Nataka kufanya biashara ya kuuuza vinywaji moto na baridi morogoro mjini.Kama kuna anayejua existing bar inayokodishwa ili nianzie hapo, anijuze tafadhali hapa au PM
 
Nenda msamvu nyuma ya mabanda yanayozunguka stendi ya dodoma kuna baa ilikuwa inakodishwa,
Jina silikumbuki, ila imeezekwa kwa makuti
 
Back
Top Bottom