Anheuser
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 1,944
- 662
asali mbichi ndio ipi?... tena asali mbichi
asali mbichi ndio ipi?... tena asali mbichi
Mmh mimi nimenunua asali ambayo iko katika pakeji inayoridhisha na inayo mawasiliano ya msambazaji zikiwemo namba za simu na box. NIKIITAZAMA SASA INAONYESHA ROBO YA CHUPA KUANZIA CHINI IMEGANDA NA IKIPATA JOTO INAYEYUKA NA KURUDI KAWAIDA. Sasa inamaana hii asali niliyoinunua nayo itakuwa FEKI ? Na huyu msambazaji amewezaje kuhalalisha kitu feki kwa kujitangaza kibiashara.
Kama unakaa Dar njoo Sinza madukani ule mtaa unaenda Namnaan hotel upande wa kushoto kuna duka linauza asali origino kuanzia nyuki wadogo mpaka wakubwa asali original haitakiwi kuganda...thanks
Ivi asali huwa inaharibika? ( ina muda wa kutumia?)
labda nimenunua asali leo (original) haijachakachuliwa naweza nikaitumia kwa muda gani?
asali kwa dar nenda mali asili, utapata unayo itaka iwe ya kigoma au tabora. mia
Asali huwa haiharibiki hata kidogo nani wewe kakwambia asali inaharibika? Asali waweza kutumia wakati wowote hata kama ikikaa mwaka mzima Asali haiwezi kuharibika hata kidogoIvi asali huwa inaharibika? ( ina muda wa kutumia?)
labda nimenunua asali leo (original) haijachakachuliwa naweza nikaitumia kwa muda gani?
Asali ni dawa ya kila maradhi kwa mfano Asali umpake maiti hawezi kuoza hata akae miaka 100, Asali inatibu maradhi mengi tu. Asali ina faida nyingi tu,hebu ngoja mzizi mkavu atupe utaalamu
Na mimi ninakusaidia kwa kuhakikisha kuwa hiyo ni Asali mbichi ni ya kweli Siyo feki itabidi uiweke kwenye friji ikiwa haijaganda itakuwa ni ya kweli hiyo Asali mbichi Orignal lakini ikiganda hiyo ni Asali ni Feki iliyochakachuliwa ni hivyo Mkuu, Kupata Asali mbichi mijini ni kama kupata Almasi Sokoni tena unakuwa hiyo Almasi umeikota hapo Sokoni si rahisi nyingi za Asali zilizopo Masokoni ni feki zimechakachuliwa.
wadau naombeni msaada asali nyingi za hapa bongo zimechakachuliwa, i am real inthe need of natural honey, tena asali mbichi, anybody who can help please PM me uniambie bei, na ntakupataje,naamini jf ndo mambo yote
Mi nahitaji asali mbichi ya nyuki wadogo, mwenye nayo tafadhali tuwasiliane
Itunze asali katika sehemu isiyo na joto wala baridi kali halafu inaweza kukuchukua muda wa miaka zaidi ya 3 ikiwa poa kabisa.Ila muhimu kukumbuka ni kuwa lazima formula yake itabadilika kidogo.Namaanisha inapungua ubora na si kuharibika kabisa.
Asali huwa haiharibiki hata kidogo nani wewe kakwambia asali inaharibika? Asali waweza kutumia wakati wowote hata kama ikikaa mwaka mzima Asali haiwezi kuharibika hata kidogo
Asali ni dawa ya kila maradhi kwa mfano Asali umpake maiti hawezi kuoza hata akae miaka 100, Asali inatibu maradhi mengi tu. Asali ina faida nyingi tu,