frankbosco
Member
- Feb 1, 2018
- 12
- 1
Kwajina naitwa mr frank naishi DSM kimara natafuta ajira ya udereva leseni ninayo kwa atakae itaji tuwasiriane kwa no 0785010732 asanteni
Na u uzoefu wa miaka 2 na reseni daraja DGari (menu) unaendesha ?
OK uzoefu wako ni wa Muda Gani? Na leseni ni daraja gani
Ndio maana nimeweka mawasiriano kwa mtu aria siliasi tuwasirianeMaelezo yako bado hayajajitosheleza!!
Kwa maitaji tuwasiriane kwa no izo apoWeka viambata
Class D unaweza endesha pia na gari za tani 3.5 ( isuzu/canter)???Kwajina naitwa mr frank naishi DSM kimara natafuta ajira ya udereva leseni ninayo kwa atakae itaji tuwasiriane kwa no 0785010731 asanteni
Tunaendesha unaweza kunitafuta kwa no izo apo juuClass D unaweza endesha pia na gari za tani 3.5 ( isuzu/canter)???
Kama jibu ni ndio nitafute.
Unaendesha wewe na nani??Tunaendesha unaweza kunitafuta kwa no izo apo juu
Menu ndio magari ya aina gani mkuu?Kwa jina naitwa mr frank
Naishi kimara mwisho
Natafuta ajira ya udereva
Reseni ninayo na nina uzoefu
Wa kuendesha magar aina zote menu na auto kwa mawasiriano 0785010732
Wenye madaraja ya class DUnaendesha wewe na nani??
ManualMenu ndio magari ya aina gani mkuu?
Gari menu=gari manualGari (menu) unaendesha ?
OK uzoefu wako ni wa Muda Gani? Na leseni ni daraja gani
Mawasiriano= Mawasiliano.Ndio maana nimeweka mawasiriano kwa mtu aria siliasi tuwasiriane
Naimani ww urikuwa mwarimu wa kiswahiri huku kwetu tuna shida ya mwalim wa kiswahir unaweza ukaja kutusaidiaMawasiriano= Mawasiliano.
aria= aliye.
siliasi=serious.
tuwasiriane= tuwasiliane.
Mkuu sorry ulianzia masomo yako ya udereva darasani au ulienda moja kwa moja kujifunzia kuendesha gari uwanja wa mpira ukatafuta leseni ya udereva. Anyway wish you all the best..
Huyo ni dereva hahitaji sana kuwa mahili wa lugha,kazi yake ni ya kutumia nguvu na akili ya wastanMawasiriano= Mawasiliano.
aria= aliye.
siliasi=serious.
tuwasiriane= tuwasiliane.
Mkuu sorry ulianzia masomo yako ya udereva darasani au ulienda moja kwa moja kujifunzia kuendesha gari uwanja wa mpira ukatafuta leseni ya udereva. Anyway wish you all the best..