Natafuta ajira, nina Diploma ya Uhasibu

Natafuta ajira, nina Diploma ya Uhasibu

Jacky880

Member
Joined
Jan 3, 2021
Posts
13
Reaction score
11
Mimi Ni binti wa miaka 26 jamani nipo mbele zenu kuomba msaada wa ajira elimu yangu diploma ya uhasibu naishi Kibaha pwani mkoa wowote nipo tayar kufanya 0628882267.

Asanteni.
 
Mimi Ni binti wa miaka 26 jamani nipo mbele zenu kuomba msaada wa ajira elimu yangu diploma ya uhasibu naishi Kibaha pwani mkoa wowote nipo tayar kufanya 0628882267.

Asanteni.
Kazi ya uhasibu tu au kazi yeyote
 
Mimi Ni binti wa miaka 26 jamani nipo mbele zenu kuomba msaada wa ajira elimu yangu diploma ya uhasibu naishi Kibaha pwani mkoa wowote nipo tayar kufanya 0628882267.

Asanteni.
Na malipo unapenda kulipwa kuanzia ngapi
 
Back
Top Bottom