Natafuta aina hii ya mawe

vunjo

JF-Expert Member
Jun 2, 2011
1,323
2,607
Habari ndugu wadau wa jf kwa mwenye kujua wapi yanapatikana kwa wingi aina hii ya mawe yanaitwa MICA yana kama kurasa ukichana inakuwa kama kioo cha tinted.Kuna wachina wanayahitaji sana wameniomba niwachekie upaticanaji wake.
IMG-20191013-WA0005.jpeg
IMG-20191013-WA0004.jpeg
images-4.jpeg
 
Habari ndugu wadau wa jf kwa mwenye kujua wapi yanapatikana kwa wingi aina hii ya mawe yanaitwa MICA yana kama kurasa ukichana inakuwa kama kioo cha tinted.Kuna wachina wanayahitaji sana wameniomba niwachekie upaticanaji wake.View attachment 1232576View attachment 1232577View attachment 1232578
Haya yapo mengi Sana maeneo ya mgeta,na sehemu nyingi tu Morogoro.yanaitwa ulanga.
Sio China tu,ata India yanatakiwa Sana.Tanzania enzi ya nyerere tulikuwa na mica state company pale Morogoro..ulanga enzi hizo ulikuwa unachangia Pato la serikali..babu Yangu alikuwaga mchimbaji mkubwa Sana wa mica miaka ya 70
Ndio yanayotengeneza Metallica colours za magari,vifaa vya umeme,rangi za kucha na lipstick pia.
Kijijini kwetu yapo mengi sana.. niliwaigi pata order India miaka ya 2002.
 
Haya yapo mengi Sana maeneo ya mgeta,na sehemu nyingi tu Morogoro.yanaitwa ulanga.
Sio China tu,ata India yanatakiwa Sana.
Ndio yanayotengeneza Metallica colours za mahari,vifaa vya umeme,rangi za kucha na lipstick pia.
Kijijini kwetu yapo mengi sana.. niliwaigi pata order India miaka ya 2002.
Naomba niunganishe na mtu aliyepo huko kijijini nifunge safari nikayone.
 
Haya yapo mengi Sana maeneo ya mgeta,na sehemu nyingi tu Morogoro.yanaitwa ulanga.
Sio China tu,ata India yanatakiwa Sana.Tanzania enzi ya nyerere tulikuwa na mica state company pale Morogoro..ulanga enzi hizo ulikuwa unachangia Pato la serikali..babu Yangu alikuwaga mchimbaji mkubwa Sana wa mica miaka ya 70
Ndio yanayotengeneza Metallica colours za mahari,vifaa vya umeme,rangi za kucha na lipstick pia.
Kijijini kwetu yapo mengi sana.. niliwaigi pata order India miaka ya 2002.
Oya kijiji gani niibukie na vijana wangu
 
Wapo china wao wana wauzia huawei kuna wenzao wanachukua kenya ila ni very expensive sasa kuna mdogo wangu ndio kaniunganisha nao yakipatikana wapo tayari kutoa vifaa vya kuya chimba.
Poa mkuu, kila la kheri
 
Naomba niunganishe na mtu aliyepo huko kijijini nifunge safari nikayone.
Kuna dogo yupo Dar,(Mimi nimesafiri kwa Sasa) Kama utakuwa tayari kumlipia nauli na hela kidogo ya muda wake ni kupm no yake.
Unajua kisa Cha Morogoro kuwa na wilaya inaitwa wilaya ya Ulanga???.
Kama una mtaji wa kuanzia,ushauri fungua kajikampuni uingie kazini.ni kweli uwezi maliza soko lake huko uchina na India.So Anza kazi mkuu
 
Vizuri sana, ashindwe yeye tu.
Kuna dogo yupo Dar,(Mimi nimesafiri kwa Sasa) Kama utakuwa tayari kumlipia nauli na hela kidogo ya muda wake ni kupm no yake.
Unajua kisa Cha Morogoro kuwa na wilaya inaitwa wilaya ya Ulanga???.
Kama una mtaji wa kuanzia,ushauri fungua kajikampuni uingie kazini.ni kweli uwezi maliza solo lake huko uchina na India.So Anza kazi mkuu
 
Kwa kg100 ni zaidi ya usd30,000.
Naomba nikuambie kuwa Bei yake sio Kama unayosema hapa japo yanalipa.mimi ninajua Bei ya madini karibia yote na nimewaifanya hizi biashara....na kwetu ulanga tukiwa watoto tumeuchezea Sana,Bibi Yangu amenichapa Sana kisa kucheza na ulanga..alikuwa anasema utatuharibu macho. Kijijini nnapotoka upo mwingi Tena Sana ata barazani mwa nyumba yetu upo . Kuwa Makini usihemke na maneno ya kuambiwa.. kwenye electronics ulanga matumizi yake ni Kama 10%.Mimi Kama mtu wa electronics najua vifaa vipi vimetengenezwa kwa ulanga.. so hakikisha Bei ..
 
Gwengaa na wewe ni wa Mahenge mwenzangu?
Naomba nikuambie kuwa Bei yake sio Kama unayosema hapa japo yanalipa.mimi ninajua Bei ya madini karibia yote na nimewaifanya hizi biashara....na kwetu ulanga tukiwa watoto tumeuchezea Sana,Bibi Yangu amenichapa Sana kisa kucheza na ulanga..alikuwa anasema utatuharibu macho. Kijijini nnapotoka upo mwingi Tena Sana ata barazani mwa nyumba yetu upo . Kuwa Makini usihemke na maneno ya kuambiwa.. kwenye electronics ulanga matumizi yake ni Kama 10%.Mimi Kama mtu wa electronics najua vifaa vipi vimetengenezwa kwa ulanga.. so hakikisha Bei ..
 
Naomba nikuambie kuwa Bei yake sio Kama unayosema hapa japo yanalipa.mimi ninajua Bei ya madini karibia yote na nimewaifanya hizi biashara....na kwetu ulanga tukiwa watoto tumeuchezea Sana,Bibi Yangu amenichapa Sana kisa kucheza na ulanga..alikuwa anasema utatuharibu macho. Kijijini nnapotoka upo mwingi Tena Sana ata barazani mwa nyumba yetu upo . Kuwa Makini usihemke na maneno ya kuambiwa.. kwenye electronics ulanga matumizi yake ni Kama 10%.Mimi Kama mtu wa electronics najua vifaa vipi vimetengenezwa kwa ulanga.. so hakikisha Bei ..
Ni pm namba za huyo dogo
 
Technical grade sheet mica is used in electrical components, electronics, in atomic force microscopy and as window sheets. Other uses include diaphragms for oxygen-breathing equipment, marker dials for navigation compasses, optical filters, pyrometers, thermal regulators, stove and kerosene heater windows, radiation aperture covers for microwave ovens, and micathermic heater elements. Mica is birefringent and is therefore commonly used to make quarter and half wave plates. Specialized applications for sheet mica are found in aerospace components in air-, ground-, and sea-launched missile systems, laser devices, medical electronics and radar systems. Mica is mechanically stable in micrometer-thin sheets which are relatively transparent to radiation (such as alpha particles) while being impervious to most gases. It is therefore used as a window on radiation detectors such as Geiger-Müller tubes.

In 2008, mica splittings represented the largest part of the sheet mica industry in the United States. Consumption of muscovite and phlogopite splittings was about 308 t in 2008. Muscovite splittings from India accounted for essentially all US consumption. The remainder was primarily imported from Madagascar.[11]

Small squared pieces of sheet mica are also used in the traditional Japanese Kodo ceremony to burn incense: A burning piece of coal is placed inside a cone made of white ash. The sheet of mica is placed on top, acting as a separator between the heat source and the incense, in order to spread the fragrance without burning it.

Electrical and electronic Edit
Sheet mica is used principally in the electronic and electrical industries. Its usefulness in these applications is derived from its unique electrical and thermal properties and its mechanical properties, which allow it to be cut, punched, stamped, and machined to close tolerances. Specifically, mica is unusual in that it is a good electrical insulator at the same time as being a good thermal conductor. The leading use of block mica is as an electrical insulator in electronic equipment. High-quality block mica is processed to line the gauge glasses of high-pressure steam boilers because of its flexibility, transparency, and resistance to heat and chemical attack. Only high-quality muscovite film mica, which is variously called India ruby mica or ruby muscovite mica, is used as a dielectric in capacitors. The highest quality mica film is used to manufacture capacitors for calibration standards. The next lower grade is used in transmitting capacitors. Receiving capacitors use a slightly lower grade of high-quality muscovite.[11]

Mica sheets are used to provide structure for heating wire (such as in Kanthal or Nichrome) in heating elements and can withstand up to 900 °C (1,650 °F).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom