Wakiamka Watakuja, Vuta Subra!Habari, natafuta Youtube adsense verified account nina Tsh 50000 isiwe disabled kwenye youtube monetization, nipo dar na ni lazima tureview account kabla ya kulipia ili kujua kama ina kasoro yoyote, Asante.
Mbona unataka kupoteza hela tu, Adsense account ya YouTube ni sawa na bure, tengeneza chanel na upload video na uende kwenye setting uenable monetization.Habari,
Natafuta Youtube adsense verified account nina Tsh 50000 isiwe disabled kwenye youtube monetization, nipo Dar na ni lazima tureview account kabla ya kulipia ili kujua kama ina kasoro yoyote.
Ahsante.
Naelewa si ile mtu ameshatumiwa zile namba kwa njia ya posta na kuziingiza, nahisi ukifikisha Dollar kumi ndo wanakutumia.Unaelewa ninaposema Verified Account? mzee
So hayo yote Unadhani ni rahisi kiasi hicho bosi? na yanachukua muda gani!? Kutumq tu baru wanatuma baada ya wiki mbili au tatu!Naelewa si ile mtu ameshatumiwa zile namba kwa njia ya posta na kuziingiza, nahisi ukifikisha Dollar kumi ndo wanakutumia.
Kama una uhakika wa kutengeneza hizo Dollar kumi ndani ya siku tatu barua itatumwa haraka na ndani ya wiki moja unakuwa umepata barua yako. usiwe na haraka kama una uhakika wa kuwa na Chanel nzuri. Otherwise labda kama hauna sanduku la posta hasa Dar.So hayo yote Unadhani ni rahisi kiasi hicho bosi? na yanachukua muda gani!? Kutumq tu baru wanatuma baada ya wiki mbili au tatu!
siku hizi kuna ugumu kidogo lazima ufikishe viewers 10,000.. zamani ilikua rahisi tuu ndani ya masaa kadhaa inakua tayari..Mbona unataka kupoteza hela tu, Adsense account ya YouTube ni sawa na bure, tengeneza chanel na upload video na uende kwenye setting uenable monetization.
Habari,
Natafuta Youtube adsense verified account nina Tsh 50000 isiwe disabled kwenye youtube monetization, nipo Dar na ni lazima tureview account kabla ya kulipia ili kujua kama ina kasoro yoyote.
Ahsante.
Asee, sikujua hili kwa kweli. Hapo kweli kuna ugumu.siku hizi kuna ugumu kidogo lazima ufikishe viewers 10,000.. zamani ilikua rahisi tuu ndani ya masaa kadhaa inakua tayari..
zipo mpaka za 1,500 Tsh tena verified, we subiri tuuu hapo hapo utaletewa na punguzo juu...Nitashukuru sana
mmh mbona sipatizipo mpaka za 1,500 Tsh tena verified, we subiri tuuu hapo hapo utaletewa na punguzo juu...
subir subir tuu mkuu mbona zipo mingi tuuuuummh mbona sipati
Yah kama ni rahisi basi niuzie yako rafiki yangu iwe Verified lakinipost video nying nyingi... kupata hao viewers ni rahisi sana....