Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,915
- 30,027
Nimecheki mkuu, ipo kwenye tigoweb. Kiduka chenyewe nlichonunulia ni cha uchwara tu pale Mwenge, wameshindwa kunisaidia masuala ya warrant!!je umefanya kama jinsi nilivyo kuelekeza coz mm ndiyo huwa nafanya hivyo na innakubali pia unaweza ukasema umempelekea mtu wa kukusaidia lakin naye akawa hajui ila ukimuonesha hiyo sms nadhani anaweza akafanikiwa