Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,326
- 92,500
Yamekuwa hayo tena Swahiba!? hivi hujui kwamba hata fungo nae analiwa?nyama zangu ziko kama mkia wa tembo, waujua? Nyuzi nyuzi tupu, hazifai hata supu!
Yamekuwa hayo tena Swahiba!? hivi hujui kwamba hata fungo nae analiwa?nyama zangu ziko kama mkia wa tembo, waujua? Nyuzi nyuzi tupu, hazifai hata supu!
u-job hopper nao kazi! Au saa zingine una kimeo chako magumashi afu wajuba wanaona mamihuri ya afghanistan. Ndo mwanzo wa kuundiwa tume. Ila p.o box inabidi nimpe hgelo funguo kila nikimlipa mshahara akaangalie barua. Manake nachoka, sipati hata moja.
Unanikumbusha enzi za Secondary School tukiwa Assemble basi wanaanza kuitwa majina waliotumiwa barua na ndugu zao, mimi hola!! aisee ilikuwa inauma sana unajiona kama kitu gani sijui.He he he, hii mambo ya kuletewa barua na mwingine ina gharama zake
Mie baba aliwahi niletea barua, nadhani njia nzima alikuwa anatamani kuisoma
Enzi hizo niko high school, kivulana kimetuma kadi ya xmass
Unanikumbusha enzi za Secondary School tukiwa Assemble basi wanaanza kuitwa majina waliotumiwa barua na ndugu zao, mimi hola!! aisee ilikuwa inauma sana unajiona kama kitu gani sijui.