nini kimepelekea uwe na hayo mawazo?Habarini wakuu, nahitaji msaada wa kisaikolojia naomba yeyote aliyopo korogwe au anayemfahamu mwanasaikolojia anipe contact zake, nina tatizo la stress siku ya tano sasa silali vizuri nipo kwenye dimbwi la mawazo, msaada wakuu
Mambo mengi yametokea yananipa stress na sina namna ya kuyatatuanini kimepelekea uwe na hayo mawazo?
andika maelezo hapo ya kilichokutokea tuone namna gani ya kukusaidia.Mambo mengi yametokea yananipa stress na sina namna ya kuyatatua
Mpaka unaandika hivi mbona uko poa tuHabarini wakuu, nahitaji msaada wa kisaikolojia naomba yeyote aliyopo korogwe au anayemfahamu mwanasaikolojia anipe contact zake, nina tatizo la stress siku ya tano sasa silali vizuri nipo kwenye dimbwi la mawazo, msaada wakuu
Kama hautajali niPM nikusaidie !!!Habarini wakuu, nahitaji msaada wa kisaikolojia naomba yeyote aliyopo korogwe au anayemfahamu mwanasaikolojia anipe contact zake, nina tatizo la stress siku ya tano sasa silali vizuri nipo kwenye dimbwi la mawazo, msaada wakuu