VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,160
Wakati mataifa duniani yakitumia nguvu kubwa kuunda silaha za maangamizi, kumbe magaidi wachache wanaweza kusomea udakitari na kuzalisha virus kuangamiza wengi kwa garama ndogo sana.
Kwa taarifa rasimi Serikali China hadi tarehe 7 Feb vifo 631 na wenye maambukizi 31,000 japo huenda China wanaficha taarifa sahihi vifo na maambukizi.
Ipo haja kila mmoja kwa imani yake tutubu kwa Mungu na kumuomba atuepushe na biological weapon.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa taarifa rasimi Serikali China hadi tarehe 7 Feb vifo 631 na wenye maambukizi 31,000 japo huenda China wanaficha taarifa sahihi vifo na maambukizi.
Ipo haja kila mmoja kwa imani yake tutubu kwa Mungu na kumuomba atuepushe na biological weapon.
Sent using Jamii Forums mobile app