Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Duh. Nipo napata gahawa hapa, najiuliza miaka sio mingi nyuma. CCm ilikuwa na assets kubwa ya wachambuzi wa masuala ya siasa.Ilikuwa na waandishi wengi kila kurasa za mbele zilijaa chambuzi mbali mbali za watu wenye sifa kubwa ktk nchi, ccm ilikuwa na viongozi wa dini wenye kuheshimika mbele ya waumini wao na hata wa madhehebu jirani km sio dini jirani. Wote hawa walikuwa wakifnaya kazi in Sync walikuwa wakipeana support km band ya Ochestra kuelekea kuilinda ccm.
Hizo siku zimepita haraka sana, hizo nyanjahazina tena mvuto, hata ukiwapa mwaka wa kufanya mazoezi wakiingia uwanjaji haipiti dkk 5 upinzani unawafanya wapitwe na wakati mbele ya watanzania waliokuwa wakidanganyanyika kirahisi.
Ni Muda mfupi sana DJ, kapanga karata zake vyema.Band ya ccm ya orchestra imeharibika kabisa.Kila wkaipanda jukwaani wasikilizaji wanataka hela yao.
Sasa hivi CCM inapandisha watu waliosoma tuition kupambana na real geniuses, master of this games.CCM km brazil iliyoingizwa kucheza na Ujerumani mbele ya wananchi wao. Ndipo siku wananchi wao walivyojua kuwa timu yao haikuwa km ilivyokuwa ikisifiwa.
Nani tena kati ya wale viongozi wa ini walikuwa ktk media kila siku wakipewa heshima kubwa ili watoe matamko yenye kuogoza akili za watu,kujenga hofu km vile mwishowa dunia bila ccm utakuwa dkk hii hii. (Dj aliwatupia Zigo la Ukuta sidhani km watarudi tena hadharani).
Wapo wapi tena manguliu wa university of Dar?wametumika wote na kuonekana hakuna kitu.Hata pale kila media na vyombo vya dola vilivyojaribu kuwalindaa na kuwaongezea uzito wapi.Kwa ujumla wamepigwa K.O. Kila wakiamka wenge linawavuta nyuma.
lipo wapi tena Bunge la kufanya kazi ya ccm na kuweza kimbia bila hatia ya mauaji?Sasa hivi Bunge lipo uchi kuliko,hakuna kitu wanaweza fanya dkk 5 wananchi wasiwe na hasira zaidi.
Wakuu wa wilaya na mikoa wameshageuka kufanya kazi ya kuadhibu ccm wenzao na makundi yao ya ndani.Km ilivyo kwa jambazi aliyogopa ugenini,kurudi nyumbani na kuanza kimbizana kuibia mama zao nyumbani kwa vile wanajua huko ni rahisi na salama zaidi.
CCM Lazima ichague kumheshimu sana DJ na si kumchukia tena.Kwa vile kumchukia zaidi ni kujihatarisha zaidi.
BADO NAJIULIZA IPO WAPI ORCHESTRA YA CCM,IMEPATA CANCER?AU ILIONDOKA NA ZILE BAND ZETU SIJUI ?
Hizo siku zimepita haraka sana, hizo nyanjahazina tena mvuto, hata ukiwapa mwaka wa kufanya mazoezi wakiingia uwanjaji haipiti dkk 5 upinzani unawafanya wapitwe na wakati mbele ya watanzania waliokuwa wakidanganyanyika kirahisi.
Ni Muda mfupi sana DJ, kapanga karata zake vyema.Band ya ccm ya orchestra imeharibika kabisa.Kila wkaipanda jukwaani wasikilizaji wanataka hela yao.
Sasa hivi CCM inapandisha watu waliosoma tuition kupambana na real geniuses, master of this games.CCM km brazil iliyoingizwa kucheza na Ujerumani mbele ya wananchi wao. Ndipo siku wananchi wao walivyojua kuwa timu yao haikuwa km ilivyokuwa ikisifiwa.
Nani tena kati ya wale viongozi wa ini walikuwa ktk media kila siku wakipewa heshima kubwa ili watoe matamko yenye kuogoza akili za watu,kujenga hofu km vile mwishowa dunia bila ccm utakuwa dkk hii hii. (Dj aliwatupia Zigo la Ukuta sidhani km watarudi tena hadharani).
Wapo wapi tena manguliu wa university of Dar?wametumika wote na kuonekana hakuna kitu.Hata pale kila media na vyombo vya dola vilivyojaribu kuwalindaa na kuwaongezea uzito wapi.Kwa ujumla wamepigwa K.O. Kila wakiamka wenge linawavuta nyuma.
lipo wapi tena Bunge la kufanya kazi ya ccm na kuweza kimbia bila hatia ya mauaji?Sasa hivi Bunge lipo uchi kuliko,hakuna kitu wanaweza fanya dkk 5 wananchi wasiwe na hasira zaidi.
Wakuu wa wilaya na mikoa wameshageuka kufanya kazi ya kuadhibu ccm wenzao na makundi yao ya ndani.Km ilivyo kwa jambazi aliyogopa ugenini,kurudi nyumbani na kuanza kimbizana kuibia mama zao nyumbani kwa vile wanajua huko ni rahisi na salama zaidi.
CCM Lazima ichague kumheshimu sana DJ na si kumchukia tena.Kwa vile kumchukia zaidi ni kujihatarisha zaidi.
BADO NAJIULIZA IPO WAPI ORCHESTRA YA CCM,IMEPATA CANCER?AU ILIONDOKA NA ZILE BAND ZETU SIJUI ?