Natabiri

Natabiri

Reuben 26

Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
65
Reaction score
59
Habari ndugu zangu kutokana na ajenda inayotuchanganya na inayoashiria umasikini ni hii inshu ya kusajili laini kwa njia ya kisasa hasa kwa finger print na kua na kitambulisho cha utaifa wa tanzani ili hali ni asilimia 0.7 ndo wenye vitambulisho hivyo nini lengo lao hasa maana yake ni kwamba huyu head boy wa nchi hii anajua kilichotokea sudani hivyo anaona jinsi watu wanavyompinga yeye ndo maana ameamua kufanya hivyo ili tukose pa kusemea.alafu utakuna na nzi wa lumumba anamsifia nawaambia tutajuta baadae pia wanasheria kazi yenu ni nini mko wapi huu ndo muda sahihi wa kujitokeza kuwatetea wanyonge natabiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mpango ulikuapo toka muda tena ni wa kidunia( New world order) inabidi mtambulike ili muwekwe sawa izo ni sindano tu za mwanzo

Itafika mahala kwenye usafiri wa mwendo kasi unaweka tu finger nauli ishakatwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu jaribu hata kuuliza nchi zilizoendelea kama hayo yapo ama laa, unakuja na nadharia hapa ambazo hazina mbele wala nyuma,

Sisi tumechelewa kuanza wenzetu wako mbali sana,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahisi hata active members watapungua humu JF, naimani ni asilimia ndogo sana humu wenye vitambulisho vya taifa...

Na siyo wengi wanaotumia computer...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom