Mbao za mawe kamwe hazipigiliwi misumaliNatabiri: HAIWEZEKANI MILELE.
Kila zama na kitabu chakeHakuna cha Ronaldo wala Messi, ni haki yake anastahili.
Na yule aliyesema "haiwezekani milele", hapo juu alikuwa na maana gani?yametimia ndiyo yeye Lucas modric fifa world cup 2018 golden player
Naunga mkono hojayametimia ndiyo yeye Lucas modric fifa world cup 2018 golden player
Maudhui kwa sasa yalikuwa ni kombe la dunia. Hata kama hakutaja "kombe la" sisi wengine tulimwelewa hivyo. Huo sasa ndio mwanzo wa kupokea hizo tuzo za mchezaji bora wa dunia.Mkuu hiyo ni ya mchezaji bora kombe la dunia....Nasemea ya mchezaji bora wa Dunia.
sasa una fikiri atakuwa nani messi, NEYMAR siyo? ? basi waza basi hata griezman au modric walopeleka nchi zao final ya fifa world cup ..Mkuu hiyo ni ya mchezaji bora kombe la dunia....Nasemea ya mchezaji bora wa Dunia.
Naunga mkono hojaView attachment 810239
Naam mkuu hizi mbao pia hazikatwi na msumeno.Mbao za mawe kamwe hazipigiliwi misumali
Luca alistahili hii kitu kabisa.
Jamaa alikuwa anaonyesha unyenyekevu wa hali ya juu , utafikiri kasomea seminary. Hata rafu z kijinga kijinga alikuwa hachezi kabisa lakini bado aliwez kufikia mafanikio yalio bora