MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 4,515
- 6,613
Mataga jiwe aliwaharibu sana. Wanaona kila kitu kinaweza kufanyika Bila utaratibu. Bashiru huyo aliyepachikwa ubalozi uchwara bado wanamtabiria uPM.Jamani Watz mmekuwa vilaza , siusome katiba , Mbunge wakuteuliwa hawezi kuwa Pm
Bashiru ndiye mtanzania pekee mwenye sifa hiziHahhaha....bashiru anajipigia ngoma ndogo, asijisifie vyeo vya mbeleko bali ajijenge mwenyewe tuweze kutambua uwezo wake.
Wewe ni muongo, Bashiru na Doto wanatakiwa kuwa Segerea sasa hivi wakiwa ni wa.ke wadogo wa nyampara mkuu.Wengi wanamcheka na kumkejeli baada ya hivi karibuni kupanda na kushuka kwenye vyeo tofauti.
Mimi naona huyu anakwenda kuwa Waziri Mkuu baada ya jamii kupoteza imani na aliyepo kutokana na kusema uongo na kutoa vijembe msikitini wakati JPJM akiwa katika hali mbaya na hatimaye kuiaga dunia.
Bashiru yuko makini sana na ni mfuatiliaji sana. Mnakumbuka alivyofuatilia mali za chama ambazo watu waligeuza ni mali zao binafsi. Huyu anatufaa. Yale maneno kusema hatapokea cheo kingine ni siasa tu hata hayati JPJM aliwahi kunukuliwa kukana kuutaka urais lakini baadaye akajitosa na kuukwaa.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uongo ndugu zangu?
Hujui ccm wewe yani stoke zake mlimani kufundisha wanafunzi aje awe mwanasiasa mashuhuri subur atafute jimbo 2025 ndo utajuaIlo haliwezekani, ila Bashiru atakuwa politician mwenye nguvu sana ndani ya CCM.
Wengi wanamcheka na kumkejeli baada ya hivi karibuni kupanda na kushuka kwenye vyeo tofauti.
Mimi naona huyu anakwenda kuwa Waziri Mkuu baada ya jamii kupoteza imani na aliyepo kutokana na kusema uongo na kutoa vijembe msikitini wakati JPJM akiwa katika hali mbaya na hatimaye kuiaga dunia.
Bashiru yuko makini sana na ni mfuatiliaji sana. Mnakumbuka alivyofuatilia mali za chama ambazo watu waligeuza ni mali zao binafsi. Huyu anatufaa. Yale maneno kusema hatapokea cheo kingine ni siasa tu hata hayati JPJM aliwahi kunukuliwa kukana kuutaka urais lakini baadaye akajitosa na kuukwaa.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uongo ndugu zangu?
Msishangae saaana,Inawezekana,No one know the future,Future is MysteryWaziri mkuu? Bashiru yupi? Huyu huyu Kakurwa? MUNGU ampe mama Samia maisha marefu, Hii ndiyo dawa ya mnafiki haiwezekani mtu anatangaza public kabisa kuwa hatokubali uteuzi wa position nyingine yoyote serikalini alafu anapewa Cs. Mimi naona hata huu ubunge wa kuteuliwa bado ni kukiuka tamko lake atafutiwe taarafa iliyopo wazi apewe angalau ukatibu hapo at least.
Sifa za kuwa PM ni lazima awe Mbunge aliyechaguliwa kwa kura nyingi sana au kupita bila kupingwa jimboni kwake. Bashiru ni mbunge wa kuteuliwa.Wengi wanamcheka na kumkejeli baada ya hivi karibuni kupanda na kushuka kwenye vyeo tofauti.
Mimi naona huyu anakwenda kuwa Waziri Mkuu baada ya jamii kupoteza imani na aliyepo kutokana na kusema uongo na kutoa vijembe msikitini wakati JPJM akiwa katika hali mbaya na hatimaye kuiaga dunia.
Bashiru yuko makini sana na ni mfuatiliaji sana. Mnakumbuka alivyofuatilia mali za chama ambazo watu waligeuza ni mali zao binafsi. Huyu anatufaa. Yale maneno kusema hatapokea cheo kingine ni siasa tu hata hayati JPJM aliwahi kunukuliwa kukana kuutaka urais lakini baadaye akajitosa na kuukwaa.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uongo ndugu zangu?
Umekula Nini mchana huu? Ulisoma SoMo la civics? Hukufumdishwa jinsi waziri mkuu anavyopatikana?Wengi wanamcheka na kumkejeli baada ya hivi karibuni kupanda na kushuka kwenye vyeo tofauti.
Mimi naona huyu anakwenda kuwa Waziri Mkuu baada ya jamii kupoteza imani na aliyepo kutokana na kusema uongo na kutoa vijembe msikitini wakati JPJM akiwa katika hali mbaya na hatimaye kuiaga dunia.
Bashiru yuko makini sana na ni mfuatiliaji sana. Mnakumbuka alivyofuatilia mali za chama ambazo watu waligeuza ni mali zao binafsi. Huyu anatufaa. Yale maneno kusema hatapokea cheo kingine ni siasa tu hata hayati JPJM aliwahi kunukuliwa kukana kuutaka urais lakini baadaye akajitosa na kuukwaa.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uongo ndugu zangu?
Mh. Bashiru hawezi kuwa na nguvu ndani ya CCM, hana pesa, hana connection, hana supporters hana wafuasi na hana ushawishi. Kitu pekee alichokuwa nacho ni Hayati JPM na sasa hayupo, kitu pekee ambacho kitaweza kumbeba ni utulivu, uaminifu, unyenyekevu na utii kwa wenye mamlaka.Ilo haliwezekani, ila Bashiru atakuwa politician mwenye nguvu sana ndani ya CCM.
Wewe uende peponi moja kwa moja. Bila JPM kwa CCM tunayoijua Bashiru hapati hata ukuu wa mtaaMh. Bashiru hawezi kuwa na nguvu ndani ya CCM, hana pesa, hana connection, hana supporters hana wafuasi na hana ushawishi. Kitu pekee alichokuwa nacho ni Hayati JPM na sasa hayupo, kitu pekee ambacho kitaweza kumbeba ni utulivu, uaminifu, unyenyekevu na utii kwa wenye mamlaka.
Bado ana nafasi ya kuaminiwa anaweza kupewa hata ukuu wa chuo, ubalozi au taasisi.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
HahahahHahahhahaa mleta Uzi kakimbia Uzi wake,aiseee
Mkuu uwe unajua katiba inasemaje kuhusu nafasi ya waziri mkuu.Wengi wanamcheka na kumkejeli baada ya hivi karibuni kupanda na kushuka kwenye vyeo tofauti.
Mimi naona huyu anakwenda kuwa Waziri Mkuu baada ya jamii kupoteza imani na aliyepo kutokana na kusema uongo na kutoa vijembe msikitini wakati JPJM akiwa katika hali mbaya na hatimaye kuiaga dunia.
Bashiru yuko makini sana na ni mfuatiliaji sana. Mnakumbuka alivyofuatilia mali za chama ambazo watu waligeuza ni mali zao binafsi. Huyu anatufaa. Yale maneno kusema hatapokea cheo kingine ni siasa tu hata hayati JPJM aliwahi kunukuliwa kukana kuutaka urais lakini baadaye akajitosa na kuukwaa.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uongo ndugu zangu?
bashiru kiboko cha wana mtandao na vigogo majizi , Mungu atamsimamia japo kuondoka kwa mwenda zake ni pigo kubwa kwake,lakini naamini atasimama tena kwani tayari ameshakoma na anaijua CCM ndani njeWengi wanamcheka na kumkejeli baada ya hivi karibuni kupanda na kushuka kwenye vyeo tofauti.
Mimi naona huyu anakwenda kuwa Waziri Mkuu baada ya jamii kupoteza imani na aliyepo kutokana na kusema uongo na kutoa vijembe msikitini wakati JPJM akiwa katika hali mbaya na hatimaye kuiaga dunia.
Bashiru yuko makini sana na ni mfuatiliaji sana. Mnakumbuka alivyofuatilia mali za chama ambazo watu waligeuza ni mali zao binafsi. Huyu anatufaa. Yale maneno kusema hatapokea cheo kingine ni siasa tu hata hayati JPJM aliwahi kunukuliwa kukana kuutaka urais lakini baadaye akajitosa na kuukwaa.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uongo ndugu zangu?
waziri mkuu wako??Wengi wanamcheka na kumkejeli baada ya hivi karibuni kupanda na kushuka kwenye vyeo tofauti.
Mimi naona huyu anakwenda kuwa Waziri Mkuu baada ya jamii kupoteza imani na aliyepo kutokana na kusema uongo na kutoa vijembe msikitini wakati JPJM akiwa katika hali mbaya na hatimaye kuiaga dunia.
Bashiru yuko makini sana na ni mfuatiliaji sana. Mnakumbuka alivyofuatilia mali za chama ambazo watu waligeuza ni mali zao binafsi. Huyu anatufaa. Yale maneno kusema hatapokea cheo kingine ni siasa tu hata hayati JPJM aliwahi kunukuliwa kukana kuutaka urais lakini baadaye akajitosa na kuukwaa.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Au nasema uongo ndugu zangu?
Kwa katiba ya nchi hii kama ilivyo, lolote linawezekana aiseeJamani Watz mmekuwa vilaza , siusome katiba , Mbunge wakuteuliwa hawezi kuwa Pm
JPM aliyasema yale akiwa kijiweniYale maneno kusema hatapokea cheo kingine ni siasa tu hata hayati JPJM aliwahi kunukuliwa kukana kuutaka urais lakini baadaye akajitosa na kuukwaa.
Au ni mzee wa matumizi ya$Ndo huyu huyu mnaomsema aliiba pese za matibabu ya magufuli, au ni mwingine!