Siasa mbaya sana
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 1,814
- 3,107
Msimu huu arsenal hatoboii yaani championship inawahusu
Ndio championship...Sasa arsenal hii itamfunga nani?? Yaan hata wafukuze kocha ni mwendo wa vipigo tuu.
Wachezaji wote waajabu ajabu tu
Na mechi ijayo ni dhidi ya man city mtapigwa hadi mchakaeee
Ndio championship...Sasa arsenal hii itamfunga nani?? Yaan hata wafukuze kocha ni mwendo wa vipigo tuu.
Wachezaji wote waajabu ajabu tu
Na mechi ijayo ni dhidi ya man city mtapigwa hadi mchakaeee