Natabiri; Arsenal FC itashuka daraja msimu huu

Siasa mbaya sana

JF-Expert Member
Nov 24, 2019
1,814
3,107
Msimu huu arsenal hatoboii yaani championship inawahusu

Ndio championship...Sasa arsenal hii itamfunga nani?? Yaan hata wafukuze kocha ni mwendo wa vipigo tuu.

Wachezaji wote waajabu ajabu tu

Na mechi ijayo ni dhidi ya man city mtapigwa hadi mchakaeee

20210822_220117.jpg
 
Msimu huu arsenal hatoboii yaani championship inawahusu

Ndio championship...Sasa arsenal hii itamfunga nani?? Yaan hata wafukuze kocha ni mwendo wa vipigo tuu.

Wachezaji wote waajabu ajabu tu

Na mechi ijayo ni dhidi ya man city mtapigwa hadi mchakaeee

View attachment 1904426
Naheshimu mawazo yako ila umekurupuka kuanzisha uzi huna evidence yoyote ya kina kutetea ulichopost na hata hustoria ya hiyo timu huijui mno.
 
IMG_20210816_155529.jpg

Huyu Mzee wa watu alifanya kila awezalo kutuweka pale tulipokua hatukujua vita aliyokua anapigana. Timu yetu ni ya kawaida sana ila ni Wenger magic ilikua inatusadia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom