one wisow
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,216
- 1,795
Salaam,
Kwa hali ya ako la ulaya jinsi ilivyo kwa sasa, hakuna ubishi tena kuwa timu ya mpira ya Manchester city ndo inakikosi bora bora zaidi pale barani ulaya hivyo natabiri kuwa watachukua ndoo zote 3.
1. UEFA
2. EPL
3. FA
Sijaona timu ya kuizuia mancity kwa msimu huu ,sio arsenal ,wala madrid,hata man united hana msuli huo.
Mpaka sasa manchester city amerhibitisha uwezo wake kwa kufunga timu kubwa karibia zote alokutana nazo;
Manchester United kapigwa -6
Arsenal kapigwa- 4
Liverpool kapigwa 4
Chelsea kapigwa 4
Bayern munchen kapigwa 3
Timu nyingine zijipqnge kwa next season. Hii ya mwaka huu ni ya wananchi tu.
Kwa hali ya ako la ulaya jinsi ilivyo kwa sasa, hakuna ubishi tena kuwa timu ya mpira ya Manchester city ndo inakikosi bora bora zaidi pale barani ulaya hivyo natabiri kuwa watachukua ndoo zote 3.
1. UEFA
2. EPL
3. FA
Sijaona timu ya kuizuia mancity kwa msimu huu ,sio arsenal ,wala madrid,hata man united hana msuli huo.
Mpaka sasa manchester city amerhibitisha uwezo wake kwa kufunga timu kubwa karibia zote alokutana nazo;
Manchester United kapigwa -6
Arsenal kapigwa- 4
Liverpool kapigwa 4
Chelsea kapigwa 4
Bayern munchen kapigwa 3
Timu nyingine zijipqnge kwa next season. Hii ya mwaka huu ni ya wananchi tu.