Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 13,766
- 20,154
ShindwaaaMsimu huu arsenal hatoboii yaani championship inawahusu
Ndio championship...Sasa arsenal hii itamfunga nani?? Yaan hata wafukuze kocha ni mwendo wa vipigo tuu.
Wachezaji wote waajabu ajabu tu
Na mechi ijayo ni dhidi ya man city mtapigwa hadi mchakaeee
View attachment 1904426