Natabiri; Arsenal FC itashuka daraja msimu huu

Dua la mwenye roho mbaya haliipati Arsenal.
Msimu huu arsenal hatoboii yaani championship inawahusu

Ndio championship...Sasa arsenal hii itamfunga nani?? Yaan hata wafukuze kocha ni mwendo wa vipigo tuu.

Wachezaji wote waajabu ajabu tu

Na mechi ijayo ni dhidi ya man city mtapigwa hadi mchakaeee

View attachment 1904426
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom