Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 4,499
- 4,687
Wasalaam, kufuatia ujio wa kachero Benard membe ktk chama cha ACT ni wazi ccm wanaenda kung'oka rasmi madarakani kwa aibu. Hili litakamili endapo vyama vyote vya upinzani ukitoa CUF vitasimamisha mgombea mmoja na kumuunga mkono, ikubukwe 2015 ccm ilibebwa na vyimbo vya dola ikanusurika
Ikubukwe tangu Tanzania ipate Uhuru imekua ikiongozwa na wawakoloni weusi ccm na wameigeuza nchi ya kifalme ya kuongozwa na babu hadi mjukuu, ukoo hadi ukoo hakuna haki za kidemocrasia angalia Bunge letu, angalia mahakama zetu haziko haziko huru, police wetu wamejiunga na ccm nani atatetea wanyonge?
Rai yangu kwa wananchi wa Tanzania angalie tulipotoka na tulipo umasikini wetu tulionao tulipewa na hawa ccm wakoloni weusi, hawa wametuibia sana keki yetu na bado wanalindana hata sasa, chama kimechoka kinahitaji kupumzishwa na mm na ww kwa manufaa ya Tanzania mpya
Ikubukwe tangu Tanzania ipate Uhuru imekua ikiongozwa na wawakoloni weusi ccm na wameigeuza nchi ya kifalme ya kuongozwa na babu hadi mjukuu, ukoo hadi ukoo hakuna haki za kidemocrasia angalia Bunge letu, angalia mahakama zetu haziko haziko huru, police wetu wamejiunga na ccm nani atatetea wanyonge?
Rai yangu kwa wananchi wa Tanzania angalie tulipotoka na tulipo umasikini wetu tulionao tulipewa na hawa ccm wakoloni weusi, hawa wametuibia sana keki yetu na bado wanalindana hata sasa, chama kimechoka kinahitaji kupumzishwa na mm na ww kwa manufaa ya Tanzania mpya