CCM ina Raisi wa Nchi,ina serikali,ina bunge na ,ina jeshi,ina polisi,ina usalama wa taifa,ina wakuu wa mikoa na wilaya,ina mahakama na tume ya uchaguzi pia ina matajiri wakubwa wenye mitaji mikubwa.Sioni siraha ya kuizika mwaka 2012 its a wishful thinking.